Kabla Ama Baada Ya Chuo
Iscriviti gratuitamente
Ascolta questo episodio e molti altri. Goditi i migliori podcast su Spreaker!
Scarica e ascolta ovunque
Scarica i tuoi episodi preferiti e goditi l'ascolto, ovunque tu sia! Iscriviti o accedi ora per ascoltare offline.
Descrizione
In studio today we have a guest friend of mine his name is Hamis Riziwan, visit us and discus about " before or after university? " What do you think...
mostra di piùWhat do you think university students to employ themselves when they are still in university or wait till they finish their study?
So Hamis express his thought that it depend with a person what is in his mind because everyone know his capability of doing things
Some will not and not be able to mix the study and business in university or college and some its not a problem to them
Baada ya kuongea na Hamis yeye kwa mtazamo wake anaona ni vyema mtu kujichanganya na mambo mengi mengi kabla ya kumaliza chuo maana kuna wengi wamemaliza chuo na wapo mtaani hawana ajira hivyo ni vyema kujichanganya nao kwani maisha hayaja nyooka hivyo ni bora kujichanganya kabla ya kumaliza chuo ila kama mtu hawezi ni bora akamaliza chuo ndio akaingia kwenye biashara sababu kwenye biashara kuna mambo mengi:
1. Kukosa mtaji
2. Kuibiwa
3. Bidhaa kuungua moto
4. Mtaji kuishia njiani
5. Bidhaa kutokukubalika kwa watu kama ulivyotegemea
Kujiajiri ni njia nzuri lakini pia ni njia Ngumu, biashara kufa, kuibiwa, kuzidiwa ushindani, changamoto ya mtaji, kua na idea zisizo fanya kazi, kuzidiwa na mkopo, wingi wa bidhaa sokoni....kama tunajiandaa kujiajiri tujiande kikamanda
Kwa hivyo namna moja ama nyingine ni lazima kuwa makini endapo unapohitaji kujiajiri ukiwa chuo maana hakuna chepesi ndio maana unahitajika kujichanganya na walio kuwepo ambao walisha maliza na kuujua mtaa zaidi
Informazioni
Autore | Father Monduli |
Sito | - |
Tag |
-
|
Copyright 2024 - Spreaker Inc. an iHeartMedia Company